Search This Blog

Thursday, August 29, 2019

VIDEO: Mimi sio Dudubaya ni Konki/ Sinywi pombe, soda maradhi/ Mwamposa/ Nina maadui wengi (Exclusive)


Msanii wa Bongo Fleva Godfrey Tumaini maarufu kama Dudubaya "Konki 3 Master" amefunguka mengi kupitia Muungwana TV ikiwemo sababu ya kubadili jina lake, kuacha kunywa pombe, kilichompeleka kwa mchungaji Mwamposa nk.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...