Search This Blog

Wednesday, August 14, 2019

Utata Kifo Francis Cheka: Mkewe Afunguka Kila Kitu – Video



Siku chache zilizopita ulizuka uvumi wa kwamba bondia, Francis Cheka, amefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro baada ya lori la mafuta kulipuka na kuua zaidi ya watu 70.


Ilisemekana kwamba Francis Cheka ambaye anaishi mkoani humo na anafanya biashara zake maeneo ya Msamvu ambapo ajali ilitokea, kuwa siku ya tukio alikuwepo ofisini kwake na lori lilivyolipuka likaondoka na maisha yake.

Katika kuthibitisha taarifa hizo, Global TV imefanya jitihada za kumtafuta mke wa Francis Cheka, ambaye amekanusha taarifa hizo na kusema mumewe yupo hai.

 VIDEO:


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...