Search This Blog
Monday, August 19, 2019
Update: Kesi ya Mwandishi Erick Kabendera kuendelea leo
Kesi ya Mwandishi wa habari Erick Kabendera, inaendelea leo August 19, 2019, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam.
Kabendera anashtakiwa makosa 3 ikiwemo la utakatishaji wa fedha wa Tsh. Mil. 173, ukwepaji kodi na njama ya kutenda kosa la jinai.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment