Search This Blog
Sunday, August 25, 2019
Tanasha onyo kali kwa Diamond Platnumz
Kutoka Instastory ya Tanasha, Mama kijacho wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, ambapo ameeleza kuwa anampenda baba wa mtoto wake lakini akiwa na mtu mwingine, hata kaa amshike tena. (Na baba wa mtoto wake huyo analijua hilo ❤)
Itakumbukwa, usiku wa kuamkia Ijumaa ndani ya Hoteli ya Best Western Coral Beach iliyopo Masaki jijini Dar, ilifanyika baby shower ya Tanasha Donna iliyokuwa maalumu kwa ajili ya kumkaribisha mwanae ajaye.
Shughuli hiyo ilihudhuliwa na watu wake wa karibu, pamoja na wadau mbalimbali na baadhi ya mastaa wa filamu na muziki nchini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment