MREMBO aliyejipatia jina kutokana na umbo lake, Jacqueline Obeid ‘Poshy’ ameibuka na kusema kuwa kamwe hawezi kuacha umachinga anaofanya kisa amepata umaarufu.
Poshy aliliambia Gazeti la Ijumaa kuwa kipindi cha nyuma alipokuwa chuo alikuwa akifanya biashara zake za kuuza mikanda na nguo mbalimbali za kike na kiume na anaendelea nayo mpaka sasa na hafikirii kuiacha.
“Kuna watu wananiuliza ninawezaje kumpelekea mtu mzigo popote alipo wakati sasa hivi nimekuwa maarufu yaani jina langu ni kubwa, nimekuwa nikiwashangaa na kuwajibu kuwa jina kubwa bila kuwa na kipato chochote ni kazi bure kwa hiyo umachinga sitauacha kamwe maana ni kazi inayonilipa,” alisema Poshy.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment