Search This Blog
Monday, August 26, 2019
Serikali yataja chanzo cha ndege kuzuiliwa Afrika Kusini.
Serikali ya Tanzania kupitia kwa Msemaji Mkuu wake Dkt Hassan Abbasi imetoa ufafanuzi kuhusu ndege ya ATCL kuzuiliwa Afrika Kusini kwa amri ya Mahakama Kuu Nchini humo, huku ikibainisha kuwa chanzo ni Kesi ya madai ya muda mrefu ya fidia ya ardhi iliyotwaliwa tangu miaka ya 1980 ikimuhusisha Hermanus Steyn na Serikali ya Tanzania na kwamba kesi hiyo haina uhusiano wowote na Shirika la Ndege la ATCL na Shirika hilo halidaiwi.
“Kwenye awamu zote kulikuwa na makubaliano lakini ukifuatilia hatua za Kimahakama wanakubaliana lakini malipo hayafanyiki, kiasi kikubwa cha malipo kilifanyika katika awamu ya nne kikabaki kiasi kidogo ambacho ndio unaona amekwenda Afrika Kusini” – MSEMAJI MKUU WA SERIKALI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment