Search This Blog
Thursday, August 22, 2019
Serikali yamtafuta Twiga mwenye kidonda kwenye jicho
Mamlaka ya Wanyamapori Kenya inamtafuta Twiga mwenye kidonda kwenye jicho aliyeripotiwa kuwepo katika Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Nakuru.
Kupitia mitandao ya kijamii wananchi wameishinikiza mamlaka hiyo kumpatia mnyama huyo matibabu, hatua iliyopeleka mamlaka hiyo kuanza kumtafuta.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment