Search This Blog

Wednesday, August 21, 2019

Sallam SK 'Tumependezwa na Maamuzi ya Harmonize Kuamua Kuvunja Mkataba Kisheria'

Kufuatia Sintofahamu Iliyokuwa Imetanda Kuhusu Hatma ya Msanii Harmonize Katika Lebo Yake ya WCB Wasafi, Mmoja Kati ya Mameneja wa Lebo hiyo Sallam sk Ameweka Wazi Ukweli Kuhusu Kinachoendelea!.

Sallam Amesema
 "Harmonize Ndani ya Moyo Wake Hayuko WCB, Lakini Kimakaratasi Yuko WCB, Harmonize Ametuma Barua ya Maombi ya Kuvunja Mkataba wake WCB na Yuko Ridhaa Kupitia Vipengele Vyote vya Sheria ili kuweza Kuvunja Mkataba Wake." .

Sallam Ameendelea Kwa Kusema Kuwa Wamependezwa na Maamuzi hayo ya Harmonize Kutokana na Kwamba yeye Mwenyewe Ameridhia na Kuamua Kufuata Sheria.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...