Mwimbaji Juma mefika Mkoani Morogoro kutoa pole kutokana na ajali ya moto iliyotokea hivi karibuni, Jux pia alikutana na Mkuu wa Mkoa Kebwe Steven na baadae kutoa msaada wa dawa na maji baada ya kuambiwa ndio upungufu uliopo kwenye Hospitali ya Mkoa ambayo inahudumia baadhi ya Majeruhi.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment