Search This Blog
Sunday, August 18, 2019
Mwanamke nchini Kenya avunja rekodi ya kitabu cha Guiness kwa kupika saa 75
Maliha Mohammed, mpishi maarufu kutoka Mombasa nchini Kenya amevunja rekodi ya dunia ya kitabu cha Guiness kwa kupika kwa muda mrefu zaidi. Mwanamke huyo amekuwa mtu wa kwanza kuvunja rekodi hiyo barani Afrika
Maliha alipika kwa muda wa saa 75 bila kupumzika na hivyo kuvunja rekodi ya dunia siku ya Jumapili katika hoteli ya kitalii ya Bay Beach mjini Mombasa.
Muda mrefu zaidi kuwahi kufikiwa ulikuwa muda wa saa 68 dakika 30 na sekunde 1, na ulivunjwa na Rickey Lumpkin mjini Los Angeles Marekani mwaka 2018.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment