Search This Blog

Wednesday, August 21, 2019

Mavugo anyakua tuzo ya ufungaji bora Zambia

 

Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Simba, Laudit Mavugo, ametwaa tuzo ya ufungaji bora nchini Zambia. 


Mavugo ambaye anakipiga na Napsa Stars hivi sasa ya nchini humo, ameisaidia timu hiyo kupata jumla ya mabao 10. 


Straka huyo aliyekuwa hana bahati alipojiunga na Simba misimu kadhaa iliypita, amekuwa mchezaji tegemeo kunako timu yake.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...