Search This Blog
Wednesday, August 14, 2019
Mashabiki wamtolea uvivu Wema Sepetu
Msanii wa Filamu Bongo, Wema Sepetu asiyependa makuu kwenye mitandao ya kijamii hasa kwa kipindi hiki, leo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweza kuwakata ngebe baadhi ya mashabiki zake wanaomsema kuhusu mwili wake.
Kupitia 'post' yake yenye picha kama inayoonekana hapo juu, staa huyo wa filamu ameweza kuwajibu baadhi ya mashabiki zake kwenye sehemu ya komenti.
Wema Sepetu amejitahidi kujibu kama alivyoandikiwa kuhusiana na 'post' hiyo yenye picha kadhaa aliyoipandisha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...
No comments:
Post a Comment