BAADA ya kuwa kimya kwa muda mrefu, mwanamuziki wa Kizazi Kipya, Diana Exavery ‘Malaika’ ameeleza ukimya wake umesababishwa na kujipanga lakini pia kukwepa ‘vita’ na binadamu.
Malaika aliiambia Risasi Vibes kuwa, ameamua kukaa na kutafakari mambo mengi yaliopita kwenye maisha yake na ndiyo maana amekuwa kimya na ahitaji kufanya vita na mtu yeyote zaidi ya Mungu tu.
“Unajua nipo kimya kwa sababu napanga mambo yangu mengi na kingine sihitaji vita na binadamu ukiwa kimya hiyo inasaidia usikumbane na mambo ya ajabu, sasa hivi namtumainia aliye juu tu na si kingine,” alisema Malaika
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment