Search This Blog
Tuesday, August 6, 2019
Madiwani wawili wa Chadema watimkia CCM na kujiuzulu nafasi zote
Madiwani wawili waliokuwa CHADEMA kata za Tegeruka (Benjamin Peter Maheke) na Busambara (Ngero Anthony Kibuyu) wamejiuzulu nafasi zao zote ndani ya chama hicho na kujiunga na CCM katika jitihada za kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment