Search This Blog
Monday, August 19, 2019
Kumbe Nguo za Zamani za Wema Kazifanya Hivi
ULIKUWA ukijiuliza zile nguo zote za mwigizaji Wema Isaac Sepetu alizokuwa akizivaa alipokuwa bonge ziko wapi? Taarifa ikufikie kuwa, kumbe baada ya kuona zinamvaa, aliona isiwe taabu, akazipeleka kwenye kituo cha watoto yatima.
Wema ameliambia Gazeti la Ijumaa Wikienda kuwa, cha kwanza kabisa alipoona mwili wake umepungua, alizipeleka nguo kwa mama yake kisha wakashauriana kuzipunguza kidogo na kuwapelekea watoto yatima.
“Hakuna hata nguo moja iliyokuwa inanikaa tena maana zote zilikuwa kubwa kupitiliza hivyo nilipunguza nyingine nikapeleka kwa watoto yatima na nyingine nitajua nitazifanyeje baadaye,” alisema Wema ambaye siku hadi siku anapungua.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment