Search This Blog

Monday, August 26, 2019

Kenya yaanza kuuza mafuta ghafi nje ya nchi


Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amezindua usafirishaji wa mafuta ghafi yanayochimbwa nchi humo katika Kaunti ya Turkana ambayo yanaenda kuuzwa nje ya taifa hilo.

Rais Kenyatta ameshuhudia meli yenye mapipa 200,000 ya mafuta yenye thamani ya Ksh. Bilioni 1.2 (zaidi ya Tsh. Bilioni 26.6) ikiondoka kwenda Uingereza

Kuondoka kwa meli hiyo katika bandari ya Mombasa kunaifanya Kenya kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki kuuza mafuta ghafi inayoyachimba

Katika hatua hiyo, Kenya imesema inatumia shehena hiyo ya kwanza kujaribu soko la Dunia kabla haijaanza kuuza kwa kiwango kubwa zaidi



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...