Search This Blog

Tuesday, August 13, 2019

FID Q 'Mimi ni Shule Tosha Kupitia Ngoma zangu'


“Mimi ni shule tosha kupitia ngoma zangu, mimi natoa elimu kwa watu kupitia ngoma zangu, ndiyo maana hata wakati naingia kwenye game dhumuni langu lilikuwa ni ku-share na watu maarifa ambayo ninayo na hata noti zilifuata baadae” ||

Ameyasema hayo FID Q katika Kipindi cha #XXL.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...