Search This Blog

Friday, August 30, 2019

BREAKING NEWS: Watu watano Wafariki Baada ya Magari Kugongana, Moja Lawaka Moto


Watu watano wamefariki baada ya gari la Dangote lililokuwa limebeba malighafi ya kutengenezea saruji likielekea Mtwara kugongana na Gari dogo na kupinduka kisha kuwaka moto baada ya kupoteza muelekeo na kugonga nguzo ya umeme rufiji mkoani Pwani.

RPC Rufiji,  Onesmo Lyanga amethibitisha taarifa hizo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...