Search This Blog
Sunday, August 25, 2019
Auawa kwa Kuchomwa Moto Baada ya Kumuua Mkewe!
Wananchi wenye hasira kali wamemuua kisha kumchoma moto Juma Lugomba(61), mkazi wa Kijiji cha Chiwata Kata ya Chiwata Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara, baada ya Juma kudaiwa kumshambulia mkewe kwa shoka na kumuua.
Tukio la kumuua mkewe liliamsha hasira za wakazi wa eneo hilo na kuamua kuchukua sheria mkononi na hatimaye kumpiga na kisha kumchoma moto.
Bado haijawekwa wazi sababu hasa za marehemu huyo kufikia hatua ya kumuua mkewe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment