Search This Blog

Monday, July 29, 2019

Whozu "Penzi letu sio Kiki nishamtambulisha Tunda kwa Wazazi Wangu"

Mwimbaji Whozu amezungumza kuhusu mahusiano yake na video vixen Tunda na kuweka wazi kuwa tayari amemtambulisha kwa wazazi wake na watu wasubirie ndoa 

"Penzi letu sio kiki, tunapendana kinyama , nishamtambulisha kwa wazazi wangu, nyie subirieni ndoa tu"


,Whozu pia amegusia ishu za kuachia kolabo alizofanya na wasanii wengine kutokea hapa hapa nyumbani Tanzania

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...