Search This Blog

Wednesday, July 3, 2019

Waziri wa Maji apiga marufuku sherehe hizi


Waziri wa Maji, Profesa Makame Mbarawa amepiga marufuku sherehe za uzinduzi wa Wakala wa Maji vijijini (Ruwasa) na kuutaka uongozi wa taassisi hiyo mpya kabadilisha matumizi ya zaidi ya shilingi milioni 200 zilitengwa kwa shughuli hiyo zilekezwe kwenye miradi ya maji.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...