Search This Blog

Saturday, July 13, 2019

VIDEO: Mbunge Bwege Aangua Kilio Hadharani/ Kisa Kizima Hichi Hapa


Mbunge wa jimbo la Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu kwa jina la 'Bwege' ameangua kilio mbele ya wanachama wa CUF katika ofisi za wilaya za chama hicho zilizopo Kilwa Kivinje. Bwege aliangua kilio hicho kutokana na madai ya mgogoro uliotokea ndani ya chama chao.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...