Search This Blog

Friday, July 26, 2019

VIDEO: Kama kuna mtu haoni maendeleo ana ugonjwa wa akili -RC Mnyeti


Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti akizungumza na wafanyabiahara wa mkoa huo, amesema wanazidi kupiga hatua katika Nyanja mbalimbali za Maendeleo kuanzia Elimu,afya na Miundo mbinu kutokana na fedha nyingi zilizotolewa na serikali kusimamiwa vizuri.

Akitolea mfano mji wa Babati wenye taa za bara barani katika mitaa mbalimbali,amesema kwa sasa  wafanyabiashara wanafanya kazi zao saa 24 huku usalama ukiimarishwa na jeshi la polisi.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI ......USIKOSE KU-SUBSCRIBE...



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...