Search This Blog

Saturday, July 20, 2019

VIDEO: JPM amtumbua Waziri January Makamba, Bashe aula


Rais John Pombe Magufuli leo Jumapili, Julai 21, 2019 amemteua George Simbachawene kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira kuchukua nafasi ya January Makamba ambae uteuzi wake umetenguliwa, pia Hussein Bashe ameteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Kilimo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...