Search This Blog

Sunday, July 7, 2019

VIDEO: Dkt. Bashiru awaonya askari wala rushwa


Katibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally amesema kuwa askari wanaosimamia sheria za barabarani wanazusha makosa na adhabu ambazo hazina kichwa wala miguu na kuwafilisi wanaoendesha vyombo vya moto huku akimpongeza waziri wa mambo ya ndani.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...