Search This Blog

Wednesday, July 31, 2019

VIDEO: CUF yatikisa Handeni Vijijini, mamia wachukua kadi/ Mbunge, Diwani wafunguka


Wabunge saba wa CUF Jumatano hii wameendelea na ziara yao ya kukagua uhai wa chama chao katika baadhi ya vijiji vya jimbo la Handeni Vijijini ikiwemo Hoza, Ruye, Sezakofi, Kwamsisiri nk . Katika ziara hiyo mamia ya watu wamechukua kadi za CUF katika baadhi ya vijiji ambavyo wamevitembelesa ndani ya jimbo hilo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBCRIBE


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...