Search This Blog

Wednesday, July 10, 2019

VIDEO: Arusha bila ajali inawezekana


Mkuu wa Usalama barabarani Mkoani Arusha Charles Bukombe amekamata gari la kampuni ya Costiline linalofanya safari zake kati ya Arusha na Simanjiro Mkoani Arusha na Manyara kwa kujaza abiria zaidi ya 80 kwenye gari tofauti na Idadi inayotakiwa kwenye idadi inayotakiwa

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...