Search This Blog

Saturday, July 27, 2019

Vanessa Mdee "Mimi Sio Muongeaji Mitandaoni ila ilibidi Niseme Siku na Huyu Mtu tena'

“Mimi sio mtu wa kuzungumza chochote kwenye mitandao ya kijamii, lakini ilifika wakati nikaona ngoja niwaelezee watu ukweli, niliona ni vizuri kulinda brand yangu kwa kuweka ukweli wazi kuwa sipo na huyo mtu kwenye mahusiano, Kwa sasa nipo single” | Ameyasema hayo Vanessa Mdee katika kipindi cha XXL

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...