Search This Blog
Tuesday, July 30, 2019
Taarifa za Wateja Milioni 100 wa Benki zadukuliwa
Taarifa za wateja zaidi ya milioni 100 wa Benki ya Capital One katika nchi za Marekani na Canada zimedukuliwa.
Habari kutoka ndani ya Benki ya Capital One zimesema taarifa zilizodukuliwa ni anuani na namba za simu za wateja wao.
Hata hivyo polisi wamemkamata mdukuzi huyo, Paige Thompson baada ya kujisifu mitandaoni kuwa ametekeleza kitendo hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment