Search This Blog

Sunday, July 28, 2019

Ohooooo.....ajali.

Mkokoteni ukiwa chini (kulia) kama inavyoonekana pichani eneo laTandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, baada ya kugongana na Lori aina ya  Fuso lenye namba za Usajili T618 AKA wakisubiri Askari wa kikosi cha usalama barabarani kuja kupima,kufuatia ajali hiyo iliyosababisa foleni kubwa,hakuna aliyepoteza Maisha.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...