Mkokoteni ukiwa chini (kulia) kama inavyoonekana pichani eneo laTandika wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam, baada ya kugongana na Lori aina ya Fuso lenye namba za Usajili T618 AKA wakisubiri Askari wa kikosi cha usalama barabarani kuja kupima,kufuatia ajali hiyo iliyosababisa foleni kubwa,hakuna aliyepoteza Maisha.(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)



No comments:
Post a Comment