Search This Blog

Monday, July 8, 2019

Naibu Waziri Mambo ya Ndani awafariji waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamadi Masauni, amefika katika kijiji cha Kihamba, halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara na kuzungumza na wananchi waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi na watu ambao hawajafahamika katika kijiji cha Mtole nchini Msumbiji.

Katika maelezo yake, Naibu waziri Masauni amewahikiiishia wananchi hao kuimarishwa kwa hali ya usalama katika maeneo hayo ya Mipakani pamoja na kuahidi kuwasaka na kuwakamata Wauaji hao waliowapiga Risasi na kuwaua Watanzania Kumi katika tukio la Juni 26 mwaka huu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...