Search This Blog
Monday, July 8, 2019
Naibu Waziri Mambo ya Ndani awafariji waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamadi Masauni, amefika katika kijiji cha Kihamba, halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara na kuzungumza na wananchi waliopoteza ndugu zao kwa kupigwa Risasi na watu ambao hawajafahamika katika kijiji cha Mtole nchini Msumbiji.
Katika maelezo yake, Naibu waziri Masauni amewahikiiishia wananchi hao kuimarishwa kwa hali ya usalama katika maeneo hayo ya Mipakani pamoja na kuahidi kuwasaka na kuwakamata Wauaji hao waliowapiga Risasi na kuwaua Watanzania Kumi katika tukio la Juni 26 mwaka huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment