Search This Blog
Monday, July 29, 2019
Mwimbaji Apigania Kupata Mbegu za Barack Obama ili Azae Nae
Mwimbaji Aubrey O'Day(35) amesema ndoto yake ni Barack Obama(57) aje kumchangia mbegu zake za kiume(sperm donor) ili apate mtoto, huku akimsifia Obama kuwa ni handsome, anayejielewa, mkarimu, mcheshi etc akiongeza kuwa ni sifa ambazo wanawake wengi wanazitaka Kwa mwanaume na ndio maana Obama amempata mwanamke wa aina yake yaani Michelle Obama
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment