Search This Blog
Sunday, July 28, 2019
Muigizaji Minnie Mouse 'Halisi' afariki Dunia
Muigizaji wa Marekani Russi Taylor, ambaye amekuwa akiigiza sauti ya kikaragosi Minnie Mouse kwa zaidi ya miaka 30 amefariki dunia akiwa na umr wa miaka 75.
Muigizaji huyo alifariki katika kitongoji cha Glendale huko California na kampuni ya Walt Disney inayosimamia uzalishwaji wa vikaragosi vya Mickey Mouse na Minnie imethibitisha kutokea kwa kifo hicho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment