Search This Blog
Tuesday, July 9, 2019
Mpenzi wa Diamond Platnumz, Tanasha azungumzia ujauzito wake
Mpenzi wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Tanasha Dona ameeleza ni kwa jinsi gani alivyokuwa na furaha pia atoa shukurani kwa kuweza kupata baraka ya mtoto huku akikazia kumlinda na mambo mabaya.
Kwa mujibu wa Tanasha, hapo mwanzo alihisi hayuko tayari kuwa mama lakini kadri siku zilizozidi kwenda alipata kuelewa na kufurahia hali hiyo.
Pia Tanasha amemsifia mwanae huyo na kudai kuwa ni 'Handsome' baada ya kuangalia picha za 3D UltraSound. Ameeleza hayo yote kupitia ujumbe aliochapisha kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment