Search This Blog

Sunday, July 28, 2019

Mikutano ya Mbowe yahairishwa kutokana na kifo cha kaka yake


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefiwa na Kaka yake General Mbowe hapo jana mchana, msiba upo nyumbani kwa Marehemu Salasala, Dar es Salaam.

Kutokana na msiba huo, CHADEMA imeahirisha mikutano ya hadhara ya Mbowe ambayo ilitarajiwa kufanyika jimboni humo kwa siku saba kutokana na kifo cha kaka wa mbunge huyo.

Ikumbukwe kuwa Mikutanao ya Mbowe jimboni kwake ilikuwa imepangawa kuanza leo July 29 hadi August 4 mwaka huu.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...