Search This Blog
Sunday, July 28, 2019
Mikutano ya Mbowe yahairishwa kutokana na kifo cha kaka yake
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amefiwa na Kaka yake General Mbowe hapo jana mchana, msiba upo nyumbani kwa Marehemu Salasala, Dar es Salaam.
Kutokana na msiba huo, CHADEMA imeahirisha mikutano ya hadhara ya Mbowe ambayo ilitarajiwa kufanyika jimboni humo kwa siku saba kutokana na kifo cha kaka wa mbunge huyo.
Ikumbukwe kuwa Mikutanao ya Mbowe jimboni kwake ilikuwa imepangawa kuanza leo July 29 hadi August 4 mwaka huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment