Search This Blog

Monday, July 22, 2019

MBUNGE KINGU AKAGUA UJENZI WA SHULE YA MSINGI BUNKU NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI

 Mbunge wa Singida Magharibi Elibariki Kingu akihutubia katika mkutano wa hadhara uliofanyika jana  Kitongoji cha Bunku kilichopo Kijiji cha Mayaha  Kata ya Minyughe wilayani Ikungi mkoani Singida baada ya kukagua ujenzi wa Shule ya Msingi na kuahidi kuendelea kusaidia ujenzi kwa kutoa mifuko ya saruji 120 na mabati.
 Burudani zikiendelea kwenye mkutano huo
 Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata hiyo Paul Hema akizungumza kwenye mkutano huo,








No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...