Search This Blog

Sunday, July 14, 2019

Mbao FC yamchukua Hemed Suleiman Morocco

Klabu ya Mbao FC ya jijini Mwanza imemtangaza aliyekuwa Kocha Msaidizi wa  timu ya taifa ya Tanzania TaifaStars  Hemed Suleiman Morocco kuwa kocha wake mkuu akichukua nafasi ya Salum Mayanga aliyeinoa timu hiyo mwishoni mwa msimu uliopita.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...