Search This Blog
Monday, July 8, 2019
Mauaji ya watoto Ufilipino yalalamikiwa
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu Amnesty International imelalamika mauaji ya kiholela yanayotokea nchini Ufilipino yaliyofikia kiwango cha kutisha katika juhudi zinazofanywa na serikali za kupambana na mihadarati.
Uchunguzi uliofanywa na shirika hilo la haki za binadamu umeonyesha kwamba mauaji hayo yanakaribia uhalifu dhidi ya ubinadamu.
Shirika hilo linataka uchunguzi huru ufanyike chini ya baraza la haki za binadamu la Umoja wa Mataifa. Serikali ya Ufilipino imesema matukio zaidi ya 6000 yametokea kuhusiana na mauaji hayo lakini shirika la Amnesty International linatuhumu kwamba idadi ya watu waliouliwa ni kubwa zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment