Search This Blog
Sunday, July 28, 2019
Maskini..Miili 25 ya Watoto Wachanga Yapatikana Kwenye Makaburi Ivory Coast
Miili 25 ya watoto imelipatikana kwenye makaburi kaskazini magharibi mwa Ivory Coast.
Vyombo vya habari vimeripoti kwamba polisi wamepata miili ya watoto 25 kwenye makaburi katika mji wa Gagnoa, kilomita 230 kutoka mji mkubwa zaidi nchini, Abidjan.
Maafisa wa polisi, wamesema miili hiyo imepatikana baada ya polisi kuona vifaa vya kuchimbia katika makaburi hayo.Walipofanya utafiti wakakutana na begi jeusi lililojaa miili 25 ya watoto iliyooza.
Mamlaka imeanzisha rasmi uchunguzi wa tukio hilo kwani huenda ukawa na uhusiano na mila za kishirikina.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment