Search This Blog
Wednesday, July 17, 2019
Martin Kadinda Afunguka Kuhamia Kwa Hamisa Mobetto
MWANAMItINdo wa kiume Bongo, Martin Kadinda amefungukia madai ya kuhamia na kumsimamia mwanamitindo Hamisa Mobeto kuwa alikuwa akifanya mambo ya kishikaji na siyo kwamba yuko kwake sasa hivi. Akizungumza na Za Motomoto, Kadinda alisema kuwa yeye na Hamisa mara nyingi wanapata mialiko
mbalimbali kwenye mashindano ya urembo na mrembo huyo aliomba tu amsaidie kutoka naye nje mpaka kwenye gari lake wakati lilipomalizika shindano la Miss Kinondoni hivi karibuni. “Watu wana maneno Hamisa, yeye aliniomba tu nimsindikize nje mpaka kwenye gari lake na siyo kwamba sasa hivi nafanya kazi kwake na kamkacha Wema kitu ambacho sicho,” alisema Kadinda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment