Timu ya taifa ya Misri ambao ndio wenyeji wa AFCON 2019 baada ya kuondolewa katika michuano hiyo hatua ya 16 bora kwa kufungwa goli 1-0 dhidi ya Afrika Kusini, Rais wa chama cha soka Misri (EFA) Hani Abou Rida ametangaza kujiuzulu.
Rida amejiulu sambamba na kumfuta kazi kocha mkuu wa timu hiyo Javier Aguirre aliyekuwa na mkataba hadi 2022, kufuatia kutolewa nje ya michuano hiyo ikiwa ni kinyume na mataraji yao, Rida kwa sasa ambaye ni mjumbe wa CAF na FIFA ametangaza kuendelea na nafasi moja tu ya kamati ya maandalizi ya michuano hiyo hadi pale itakapo malizika.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment