Search This Blog

Wednesday, July 24, 2019

JPM Amteua Mpogolo Kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Edward Mpogolo kuwa mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Edward ambaye alikuwa Katibu Tawala Wilaya ya Dodoma, anachukua nafasi ya Miraji Mtaturu ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...