Search This Blog
Wednesday, July 24, 2019
JPM Amteua Mpogolo Kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua, Edward Mpogolo kuwa mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida. Edward ambaye alikuwa Katibu Tawala Wilaya ya Dodoma, anachukua nafasi ya Miraji Mtaturu ambaye amechaguliwa kuwa mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment