Search This Blog

Saturday, July 27, 2019

JPM Aiagiza Wizara ya Fedha Kuchunguza Matumizi ya Bilioni 15.3 za TAZARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya shilingi Bilioni 15.3 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kughamia matumizi ya Mamlaka ya usafiri wa Reli Tanzania na Zambia (TAZARA).



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...