Search This Blog

Monday, July 15, 2019

Jinamizi Lakufukuza Makocha Laendelea Kuzikumba Timu Zilizoshiriki AFCON, Cameroon Nao Hao



Waziri wa Michezo wa Cameroon, Profesa Narcisse Mouelle Kombi, ametangaza katika televisheni ya taifa kuwa kocha wa timu ya taifa (Indomitable Lions), Clarence Seedorf hatoendelea kuifundisha timu hiyo kuanzia sasa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...