Search This Blog

Sunday, July 21, 2019

January Makamba aandika maneno haya baada ya kutenguliwa uteuzi wake


Baada ya taarifa kuwa Rais John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa January Makamba ambae alikua Waziri wa Nchi,  Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira na George Simbachawene kuteuliwa kuchukua nafasi hiyo, January Makamba ameandika yafuatayo kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii.

“Kwa kweli nimeyapokea mabadiliko yaliyofanywa kwa moyo mweupe kabisa kabisa 😊Nitasema zaidi siku zijazo” – January Makamba




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...