Search This Blog
Monday, July 8, 2019
IGP Sirro akagua mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari Polisi
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (kulia), akizungumza na baadhi ya wananchi aliokutana nao katika kivuko eneo la Busisi mkoani Mwanza, wakati akiwa safarini kuelekea mkoa wa Geita kwa ziara ya kikazi, mbele yake ni kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza Jumanne Muliro.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro (aliyesimama), akizungumza na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya mkoa wa Mwanza, wakati alipofanya ziara ya kikazi mkoani humo ambapo pia alitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya askari zinazojengwa katika eneo la
Nyamhongoro.
Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Simon Sirro, akikagua gwaride aliloandaliwa kwa ajili yake wakati alipowasili mkoa wa Mwanza kwa ziara ya kikazi ambapo pia alitembelea mradi wa ujenzi wa nyumba za makazi ya askari zinazojengwa katika eneo la Nyamhongoro.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...



No comments:
Post a Comment