Search This Blog

Tuesday, July 30, 2019

Huyu Hapa Nahodha Mpya wa Yanga Baada ya Ajibu Kutimkia Simba



Kiungo Papy Kabamba Tshishimbi ameteuliwa kuwa nahodha mkuu wa klabu ya Yanga kwa aajili ya msimu huu wa mashindano kufuatia nahodha wa zamani Ibrahim Ajibu kusajiliwa na Simba.

Read More:Nafasi za Ajira 291 Zilizotangazwa Leo  

Wasaidizi wa Tshishimbi bado hawajatangazwa, uteuzi wa Tshishimbi umefanywa jana na kocha mkuu Mwinyi Zahera.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...