Klabu ya Everton ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Juventus kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo ya Italia Moise Kean.
Kean ambaye ana miaka 19 inasemekana ana thamani ya kiasi cha €40M (£36M) na klabu hiyo ya Juventus inataka kipengele cha kumnunua tena kijumuishwe kwenye dili hilo.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment