Search This Blog

Sunday, July 28, 2019

Everton yamfukuzia mshambuliaji huyu wa Juventus

Klabu ya Everton ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Juventus kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo ya Italia Moise Kean.

Kean ambaye ana miaka 19 inasemekana ana thamani ya kiasi cha  €40M (£36M) na klabu hiyo ya Juventus inataka kipengele cha kumnunua tena kijumuishwe kwenye dili hilo.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...