Search This Blog

Tuesday, July 16, 2019

'CCM wampitisha huyu kumridhi Tundu Lissu'


Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi Iliyoketi jana Jijini Dodoma chini ya Mwenyekiti CCM Taifa Rais Dkt John Magufuli, imemteua Miraji Jumanne MTATURU Kuwa Mgombea Ubunge wa CCM Katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Singida Mashariki baada ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo hilo, Tundu Lissu kuvuliwa Ubunge.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...