Search This Blog

Tuesday, July 16, 2019

Biashara United yaanza kutambulisha wachezaji wake wapya


Uongozi wa timu ya Biashara United Mara inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imenza kutambulisha nyota wake ambao wataitumikia timu hiyo katika msimu ujao wa ligi kuu na mashindano mengine.

Wachezaji waliotambulishwa leo ni Victor Hangaya aliyesajiliwa kutoka Mbeya City pamoja na Ally Kombo kutoka Mbao FC.

Katibu wa kamati ya usajili ya timu hiyo Idrisa Majamba amesema usajili wa msimu huu utazingatia matakwa ya kocha wao Amri Said kwa kiasi kikubwa.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...